Tuesday, August 28, 2012

NYOTA TUMAINI LETU.

Jina: AikaRose Mwasha Jinsia:Kike Miaka:12 Utaifa:TANZANIA Mchezo: Taekwando KILO: 28 kg- beginners FEMALE Club: Nong Jang Makazi: Leuven Belgium MAFANIKIO: MEDALI YA FEDHA & DHAHABU Kijana wa kitanzania mwenye ndoto ya kuwakilisha nchi yake kwenye mashindano ya kimataifa hapo usoni kwa kupitia mchezo wa mbinu za kujihami wa TAEKWANDO ,anamapenzi makubwa na mchezo huu aliouanza angali mdogo akiwa na umri wa miaka 9 ,ameshashiriki mashindano madogo madogo nchini Belgium na kupata mafanikio makubwa kufikia medali ya fedha. Hivi karibuni alifanikiwa kupata medali ya dhahabu katika mashindano ya Olympic open Brussels yaliyofanyika Rue Du Lombartzyde Brussels Belgium tarehe 27 May 2012. Sasa hivi anajiandaa na team yake kwenda Copenhagen kwenye mashindano ya Wonderfull Copenhagen yatakayofanyika mwezi ujao. Wito wake hasa kwa vijana wadogo akitilia mkazo jinsia ya kike ni kujifunza michezo mbalimbali na kuwa na ndoto ya kuwa mabalozi kwa taifa lao la TANZANIA. VIPAJI HUINUA TAIFA
Jina: AikaRose Mwasha Jinsia:Kike Miaka:12 Utaifa:TANZANIA Mchezo: Taekwando KILO: 28 kg- beginners FEMALE Club: Nong Jang Makazi: Leuven Belgium MAFANIKIO: MEDALI YA FEDHA & DHAHABU Kijana wa kitanzania mwenye ndoto ya kuwakilisha nchi yake kwenye mashindano ya kimataifa hapo usoni kwa kupitia mchezo wa mbinu za kujihami wa TAEKWANDO ,anamapenzi makubwa na mchezo huu aliouanza angali mdogo akiwa na umri wa miaka 9 ,ameshashiriki mashindano madogo madogo nchini Belgium na kupata mafanikio makubwa kufikia medali ya fedha. Hivi karibuni alifanikiwa kupata medali ya dhahabu katika mashindano ya Olympic open Brussels yaliyofanyika Rue Du Lombartzyde Brussels Belgium tarehe 27 May 2012. Sasa hivi anajiandaa na team yake kwenda Copenhagen kwenye mashindano ya Wonderfull Copenhagen yatakayofanyika mwezi ujao. Wito wake hasa kwa vijana wadogo akitilia mkazo jinsia ya kike ni kujifunza michezo mbalimbali na kuwa na ndoto ya kuwa mabalozi kwa taifa lao la TANZANIA. VIPAJI HUINUA TAIFA

No comments:

Post a Comment