Tuesday, August 28, 2012

Audition ya Maisha Plus 2012 yaanza Awamu ya kwanza ya zoezi la kwasaka vijana watakaoweza kumudu mchakamchaka wa shindano la Maisha Plus, imeanza jana (Agosti 27) huko Bagamoyo mkoani Pwani. Leo shindano hilo litafanya usaili katika wilaya ya Lushoto ambako zoezi hili litafanyika katika maeneo ya mjini mwa wilaya hiyo. Baada ya hapo ratiba za audition zitaendelea kama ifuatavyo; Agosti 29- Kilimanjaro/ Sanya juu Usaili utafanyika katika mji wa Bomang’ombe Agosti 30- Arusha/ Ngorongoro Usaili utafanyika Karatu Agosti 31 – Singida Usaili utafanyika Singida Mjini Septemba 1- Iramba Usaili utafanyika Iramba Mjini Septemba 2- Dodoma Usaili utafanyika Kondoa Mjini Hii ni awamu ya kwanza ya usaili wa shindano hili, audition zitaendelea stay tuned kwaajili ya tarehe na mahali ya auditon zitakazoendelea……….

No comments:

Post a Comment