Tuesday, August 28, 2012

MAPACHA WATATU LEO WAPO COCO BEACH

Bendi ya muziki wa dansi ya MAPACHA WATATU leo jumanne na jumanne zote za kila wiki wanatoa burudani ya kutosha ktk ukumbi wa star coco club uliopo coco beach show hii kali huanza mapema tu saa mbili na nusu usiku..akiongea na bongomic ..meneja wa bendi hiyo KHAMIS DACOTA alisema tumejiandaa vizuri kutoa burudani ya kutosha kwa wadau wa muziki huu sote tukutane coco beach uje ujienjoy na wakali wa muziki wa dansi alimaliza DACOTA

No comments:

Post a Comment