Tuesday, July 31, 2012

KWENYE AJALI MBAYA ZA MABASI, HII IMEINGIA KWENYE REKODI MWAKA HUU.




July 24 2012 Basi la Dar Express lililokua likitoka Arusha na basi la Simba mtoto lililokua linakwenda Tanga, yaligongana uso kwa uso eneo la Wami ambapo Majeruhi walipelekwa kwenye hospitali ya Chalinze.
.
.
Picha zote kutoka kwenye blog ya Mrokim.blogspot.com

No comments:

Post a Comment