KUMBE KUNA MMILIKI WA JUMBA LA WEMA?
Siku
chache baada ya msanii mwenye vibweka vingi ndani ya tasnia ya filamu
Bongo, Wema Abrahamu Sepetu kutangaza kuwa anamiliki mjengo wenye
thamani ya shilingi za kibongo Ml 400, hatimaye mmiliki halisi wa
mjengo huo ameibuka.
Akizungumza na Teentz.com mapema
leo,mmoja watu walio karibu na mmiliki huyo mwenye asili ya kiarabu
anayemiliki jina la Ahmed au Msafiri kama anavyojulikana kwenye mitaa
hiyo amesema kuwa Wema aliutangazia umma juu ya umiliki wake kwa nyumba
hiyo wakati ambao kijana huyo wa kiarabu alikuwa safari nchini Brazil
kwenye michongo yake.
“Unajua
Wema amewadanya watu kwa kiasi kikubwa, nafikiri anatakiwa kuomba
radhi nakuwaeleza ukweli kwenye nyumba ile hana hata kipande cha tofali
na mmiliki halisi ni mshikaji wangu Ahmed ambaye mara kadhaa huwa
anasafiri kwenda nchini Brail kibiashara” kilisema chanzo hicho.
for more stories stay with us
……………………………………Stori na Dismas Ten………………………………
……………………………………Stori na Dismas Ten………………………………
ARAKA, PIA KUNA KAULI YA KUPUNGUZA WANAMUZIKI.
HILI NDIO JIBU LA MASHUJAA BAND KWA ASHA BARAKA, PIA KUNA KAULI YA KUPUNGUZA WANAMUZIKI.
.
Siku tatu baada ya boss wa
African Stars Asha Baraka kusema kwamba Max sio Mkurugenzi wa band ya
Mashujaa bali ni mpambe tu, Meneja wa band hiyo ambae ni mwezi mmoja
toka aihame Twanga Pepeta amemjibu boss wake huyo wa zamani.
Martin amesema “Max sio mpambe
wa Mashujaa ni mmoja wa Wakurugenzi wa Mashujaa Investment, sisi hatuna
band peke yake… tuna Radio tunataka kuanzisha Lindi, tuna biashara ya
magari, Bar na biashara nyingine kwa hiyo Max ni mkurugenzi wa habari
pia hivyo huyo anaezungumza kwamba ni Mpambe amechelewa kujua, kumuita
mpambe ni kumdhalilisha manake wapambe huwa wanafata fata watu nyuma
nyuma ili wapewe shilingi”
Meneja Martin ambae alilipwa milioni 20 kuhamia Mashujaa amesema “tuko kwa ajili ya kuinyanyua band, hii band ndio inaanza na nimekuta ina watu 41, ni wengi sana kwa band inayoanza hata hiyo band ya hao wanaozungumza kwamba tumepunguza watu band yao ina watu 36, kwa hiyo mimi napunguza watu halali wa kufanya kazi na nitaendelea kupunguza manake nataka watu wabaki 28, kikawaida waimbaji kwenye band wanatakiwa wanne lakini hapa nimekuta tisa yani kuna wengine wanakaa mpaka program inakwisha hawajaimba kitu chochote, sio kwamba hawajui kazi ila nilichofanya ni kuwachukuwa wanaojua zaidi kazi''










Meneja Martin ambae alilipwa milioni 20 kuhamia Mashujaa amesema “tuko kwa ajili ya kuinyanyua band, hii band ndio inaanza na nimekuta ina watu 41, ni wengi sana kwa band inayoanza hata hiyo band ya hao wanaozungumza kwamba tumepunguza watu band yao ina watu 36, kwa hiyo mimi napunguza watu halali wa kufanya kazi na nitaendelea kupunguza manake nataka watu wabaki 28, kikawaida waimbaji kwenye band wanatakiwa wanne lakini hapa nimekuta tisa yani kuna wengine wanakaa mpaka program inakwisha hawajaimba kitu chochote, sio kwamba hawajui kazi ila nilichofanya ni kuwachukuwa wanaojua zaidi kazi''
STORI KUBWA ZA MAGAZETI YA LEO JUMATATU, UDAKU, MICHEZO, NA HARDNEWS.
Posted: 9th July 2012 by bongo mic in NewsSTORI KUBWA ZA MAGAZETI YA LEO JUMATATU, UDAKU, MICHEZO, NA HARDNEWS.
Posted: 9th July 2012 by MillardAyo in NewsBAADA YA Z ANTO KUACHANA NA HUYU BINTI, ASEMA YUKO TAYARI KUOA TENA.
Posted: 8th July 2012 by MillardAyo in News
Wote tunafahamu kwamba Z Anto
star wa hits kama Binti Kiziwi na Mpenzi Jini, alioa akiwa na umri wa
miaka 22 tu tena siku chache baada ya video ya Binti kiziwi ilipotoka
ambapo alimuoa mrembo alieuza kwenye hiyo video.
Walikaa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa muda wa mwaka mmoja na kuoana kwenye ndoa ambayo haikumaliza mwaka mmoja, ilivunjika Miaka mitatu iliyopita.
Z Anto anasema “niliamua kumuoa kwa sababu pesa ninazo mali ninazo na nikawa sipendi kuendelea kutenda dhambi, lakini tuliachana kwa sababu ya tamaa zake za kibinaadamu”

“Kwa sasa niko tayari kuoa tena
manake dini yangu inanilazimisha mimi kuoa, nina mtu ambae bado
sijamchumbia na kwa bahati nzuri nimebahatika kupata nae mtoto pia
aliezaliwa miezi mitatu iliyopita, plan yangu ni lazima nioe maishani
kwa sababu kosa la mtu mmoja haliwezi kunifanya niwaadhibu watu 100,
yeye nilimuadhibu na nimeshasahau pia… wakati namuoa alikua na umri wa
miaka 20 na mimi nilikua na kati ya 21 au 22″ – Z Anto
Walikaa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa muda wa mwaka mmoja na kuoana kwenye ndoa ambayo haikumaliza mwaka mmoja, ilivunjika Miaka mitatu iliyopita.
Z Anto anasema “niliamua kumuoa kwa sababu pesa ninazo mali ninazo na nikawa sipendi kuendelea kutenda dhambi, lakini tuliachana kwa sababu ya tamaa zake za kibinaadamu”
Huyu ndio mrembo alieonekana kwenye video ya Binti Kiziwi ambae ndio Z Anto alimuoa na wakaachana baadae.
STORI KUBWA ZA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI, MICHEZO, MCHUNGAJI KUKATAA MAMILIONI YA FREEMASON NA HARDNEWS.
Posted: 8th July 2012 by MillardAyo in NewsPICHA ZA JINSI WEMA SEPETU NA JACKLINE WOLPER WALIVYOPIGANA, ZIPO ZA WENGINE PIA.
Posted: 8th July 2012 by MillardAyo in News
Jackline
Wolper akiwa ameingia uwanjani kwa mbwembwe na kuongea kwa hali ya
kutamani pambano lianze mapema apigane na Wema Sepetu, Ulikua ni usiku
wa tamasha la matumaini ambapo pambano kati ya Wema na Wolper halikua
kama ya mabondia wengine, wao walifanya kama kichekesho ambacho mwisho
wa siku walikubali kwamba mpambano wao ulitumika pia kuwaonyesha
watanzania kwamba wawili hao hawana beef.
Hapa
Wema pamoja na mikwara yote aliona J anamletea ngumi yenye ujazo
akaamua kukimbia huku akipiga kelele za kutaka aokolewe, mwishowe
alikwenda kumkumbatia refa.
Pambano lilikua la round mbili tu ambapo refa alitangaza kwamba wote wametoka droo, hakuna aliemzidi mwenzake kwenye ushindi.
Baada
ya pambano kumalizika huyo jamaa mwenye t shirt nyekundu alikwenda
kumshika Wema mapajani akitaka kumbebe ghafla wakati hawajuani na haikua
imepangwa hivyo, so jamaa akaambulia kichapo
Wakati
ishu nyingine zikiendelea, Polisi waliibuka walipokaa watazamaji kwenye
jukwaa ambalo mara nyingi hutumika namashabiki wa Yanga, hapa kulikua
na fujo za kutupiana chupa za maji kutoka kwenye jukwaa la chini na la
juu yake, huyo mwenye T shirt nyeusi aliekamatwa na askari ndio anadaiwa
kuwa chanzo.
Hao
jamaa walilazimika kusimama na kuanza kuwagombeza watu wa jukwaa la juu
ambao bado walikua wanaendeleza kurushiana chupa za maji.
Bondia
Francis Cheka aligoma kupanda kwenye stage kwa ajili ya pambano na
Japhet Kaseba kwa kudai kwamba hawezi kucheza na mtu alie chini ya
kiwango, aliyasema hayo pamoja na kwamba alikubali kucheza pambano, hapa
kuna utata kidogo… naendelea kuwatafuta wasemaji ili tufahamu taarifa
za uhakika.
Pamoja
na Japhet Kaseba kutangazwa mshindi kutokana na Cheka kugoma kupanda
ulingoni, Cheka alizunguka uwanja kidogo huku akishangiliwa.. Japhet
Kaseba wakati anatoka uwanjani kwenda vyumbani mashabiki wa jukwaa la
kwanza kushoto mwa lango kuu walimtupia chupa za maji zisizopungua sita
pamoja na kumzomea.
Jose Chameleone wa Uganda alipoanza kuimba, hakwenda kwenye stage.. alizunguka na kuwa karibu zaidi na fans wake.
Inaweza ikawa sio video
imeniteka sanaaa lakini wimbo una nafasi kubwa, nimeukubali… kitu
kingine ni swagg za video walizoonyesha wahusika wakuu, Cindy na A.V.I.D
ambae kiukweli ana swagg nzuri pia za video na hata kwenye uimbaji,
flavour yake ni nyingine kabisa… Cindy nae kaflow vizuri sana kibongo
bongo kiukweli nimempa tiki, baada ya kusema hayo yote, naomba utumie
dakika zako nne tu kuitazama hiyo video hapo chini….!!!
DANNY MRWANDA, PROFESA JAY, DROGBA, KIM KARDASHIAN, MSANJA MKANDAMIZAJI, NTV, GODZILA NA WENGINE.
Posted: 7th July 2012 by MillardAyo in NewsHII NDIO VIDEO YA KATUNI INAYOONYESHA JINSI UGOMVI WA DRAKE NA CHRIS BROWN ULIVYOTOKEA.
Posted: 7th July 2012 by MillardAyo in News
Ikiwa ni zaidi ya wiki nne toka
Ugomvi ugomvi wa mwimbaji Chris Brown na rapper Drake kutokea kwenye
club moja huko New York Marekani, Mtaalamu Mike Rob ameweza kutengeneza
VIDEO ya katuni ya jinsi ugomvi wao ulivyotokea kwenye club hiyo.
Mwanzoni mashuhuda walisema chanzo cha ugomvi ni baada ya Chris Brown kujikuta yuko kwenye club moja ya usiku na mtu ambae hawapatani (Drake) na kisa kinadaiwa ni Chris Brown kuhisi Drake anatoka na mpenzi wake wa zamani mwimbaji Rihanna.
Chris baada ya kumuona Drake kwenye club hiyo aliamua kumuagizia kinywaji kama ishara ya kutaka kupatana na kumaliza beef lao ambalo limekua likiendelea kupitia twitter kwa kurudhiana vijembe, baada ya kinywaji kumfikia Drake alikikataa na kummaind Brown na ndipo ugomvi ulipotokea, sasa huyu mtengeneza katuni amepata mkanda mzima wa jinsi ilivyokua na akaweza kutengeneza katuni inavyoonyesha tukio lilivyokua, itazame hiyo video hapo juu.
Mwanzoni mashuhuda walisema chanzo cha ugomvi ni baada ya Chris Brown kujikuta yuko kwenye club moja ya usiku na mtu ambae hawapatani (Drake) na kisa kinadaiwa ni Chris Brown kuhisi Drake anatoka na mpenzi wake wa zamani mwimbaji Rihanna.
Chris baada ya kumuona Drake kwenye club hiyo aliamua kumuagizia kinywaji kama ishara ya kutaka kupatana na kumaliza beef lao ambalo limekua likiendelea kupitia twitter kwa kurudhiana vijembe, baada ya kinywaji kumfikia Drake alikikataa na kummaind Brown na ndipo ugomvi ulipotokea, sasa huyu mtengeneza katuni amepata mkanda mzima wa jinsi ilivyokua na akaweza kutengeneza katuni inavyoonyesha tukio lilivyokua, itazame hiyo video hapo juu.
No comments:
Post a Comment