Wednesday, June 27, 2012

New News

ELIZABETH GUPTA NDANI YA MOVIE MPYA KUTOKA NIGERIA "THE CARTEL"

Pichani ni Elizabeth, Mike Ezuruonye aliyemshikilia mtoto wa Eliza na mwanadada ambaye sikupewa jina lake

Elizabeth Gupta-pam wengi tunamfahamu kupitia shindano la Big Brother baadae akaolewa na mshiriki mwenzake kutoka Nigeria. Kwa hivi sasa Elizabeth anacheza katika movie mpya inayokwenda kwa jina la THE CARTEL ambayo imewashirikisha wasanii mbalimbali kutoka Naija, Ghana, South Africa na Tanzania ambaye yeye Elizabeth ndio anatuwakilisha. Na nimeambiwa wasanii wenye majina makubwa waliocheza ni pamoja na Mike Ezuruonye, Martha, John Njamah na Luclay ambaye alikuwa BBA.

Movie hiyo ya The Cartel imechezwa nchini Naija (Nigeria) sehemu moja inayoitwa Portharcout.

Tuesday, June 26, 2012

EFFYZZIE MUSIC GROUP PRESENTS YEMI ALADE WITH HER BRAND NEW OJB JEZREEL-PRODUCED SINGLE "GHEN GHEN LOVE"

Rising Nigerian Pop star and singing sensation Yemi Alade returns with her brand new single titled “Ghen Ghen Love” which is superbly produced by veteran producer OJB Jezreel. Collaborating amazingly on record, Yemi Alade and OJB Jezreel have created one of the songs of 2012!

After bursting unto the scene in 2010 with the amazing debut single “Fi Mi Le” featuring eLDee and excelling on several stellar collaborations till date, Yemi Alade finally gives the fans and critics what we’ve been waiting for in this excellent Solo single. Over a sublimely crafted musical milieu provided for by OJB Jezreel, Yemi Alade beautifully professes her love for her leading man with some excellent songwriting prowess, catchy and infectious wordplay, an enjoyably memorable hook and that trademark mesmerising voice of hers...

“Ghen Ghen Love” is one hell of a monster record - an infectious bass-heavy Pop tune laced with lush synths and thumping drum patterns that will not only leave your heads bopping and your feet moving in the clubs but be prepared to have this single take over your radio waves in the coming weeks and months!

“Ghen Ghen Love” is OUT NOW via Effyzzie Music Group.


LISTEN TO + DOWNLOAD “GHEN GHEN LOVE”: 
DOWNLOAD “GHEN GHEN LOVE” DIRECTLY TO YOUR MOBILE:

ABOUT YEMI ALADE

Born in Abia State to business woman, Helen Alade (Nee Uzoma) and Police officer, James Alade, fast-rising Nigerian Pop sensation Yemi Eberechi Alade was the fifth of seven siblings in a household that was filled with music from day one.

Yemi - whose dual heritage of South-East Nigeria and South-West Nigeria earned her the moniker of “that Yoruba-Ibo girl” - grew up listening to popular music of the late eighties and early nineties and would showcase her singing and dancing dexterities as a child in several party and social competitions. She began singing in her Church choir at the tender age of twelve and was soon known to be able to make melodies from everyday conversations - in her own words, “I’ve practically lived my life on stage”.

Yemi grew up in several Nigerian cities as a kid owing to her father’s job commitments and was educated at Saint Saviors’ British Primary School in Lagos before proceeding to Victory Grammar School, Lagos and then to the University Of Lagos where she majored and graduated with a Bachelors degree in Geography in 2010.

Under the supervision of Bayo Omisore (2Face, Lami), Yemi began making music professionally in 2005 and would go on to win the maiden edition of the Peak Talent Show in 2009. Her debut single “Fimisile” which featured eLDee was released in 2010 and peaked remarkably with over ten thousand hits on YouTube in barely a month and features on several taste makers such as Bella Naija, Jaguda and Not Just OK among others.

Currently hard at work on her yet to be titled debut album, she continues to make her mark in the African music industry - performing on hundreds of stages across Nigeria and featuring on massive singles with major artists such as Dipp, Ice Prince, eLDee, M.I,  Sauce Kid, Shank, Sir Shina Peters, Waje, Wizkid and Yemi Sax to mention a few. Her extensive discography has also seen her working with veteran and burgeoning music producers like OJB “Jezreel”, eLDee, E. Kelly, IBK, MajorOne, SizzlePro, Red Bull Music Academy alumni DJ Klem, Bigfoot, Flip Tyce and World renowned South African producer Garth.

Yemi Alade is currently signed to Effyzzie Music Group...


LISTEN TO + DOWNLOAD “GHEN GHEN LOVE”: 
DOWNLOAD “GHEN GHEN LOVE” DIRECTLY TO YOUR MOBILE: 

WADAU WALIA NA KIINGEREZA, UZUNGU KWENYE FILAMU ZA KITANZANIA

Msanii wa filamu ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kituo cha Mafunzo ya Filamu cha Tanzania Film Training Centre (TFTC) Emmanuel Myamba maarufu kama Pastor Myamba akiwasilisha mada kwenye Jukwaa la Sanaa wiki hii. Kushoto kwake ni Katibu wa Shirikisho la Filamu nchini Wilson Makubi

Na Mwandishi Wetu

Wadau wa Sanaa wamehoji uhalali wa wasanii wa filamu kutumia kiingereza kwenye majina ya filamu zao huku wakishangazwa na kazi hizo kubeba maudhui ya kizungu zaidi.

Wakizungumza wiki hii kwa nyakati tofauti kwenye programu ya Jukwaa la Sanaa, wadau hao walishangazwa kitendo cha filamu hizo kutumia majina ya kizungu wakati hapa kwetu kuna filamu nyingi kutoka nje zinazotumia lugha za kihindi, kichina, kifaransa  na zinafanya vizuri.

“Hoja kwamba, wanatumia majina ya kiingereza ili kuteka soko la kimataifa ni ya kitoto, mbona hapa kwetu kuna filamu nyingi za kihindi na kichina zinanunuliwa kwa wingi? Hapa kuna udhaifu katika kutengeneza filamu zenye ubora tujikite huko”alisema Mzee Nkwama Bhallanga.

Kwa mujibu wa wadau wengi waliozungumza, filamu ni taaluma inayozungumza kwa kutumia picha na vitendo zaidi hivyo haihitaji mtazamaji kufahamu lugha iliyotumiwa ili afahamu maudhui na ujumbe unaowasilishwa na kazi husika ya filamu.

“Maneno kwenye filamu si muhimu sana, kinachozungumza ni matendo na picha zaidi, ndiyo maana kuna watu wanaangalia picha za Kikorea na wanaburudika na kuelewa kinachoendelea” alisema Godfrey Lebejo ambaye ni Murugenzi wa Idara ya Utafiti, Mafunzo na habari, BASATA.

Aliongeza kuwa, kinachoitesa tasnia ya filamu kwa sasa ni kukosekana kwa weledi na uhalisia wa tamaduni zetu kunakosababishwa na wimbi kubwa la watu kujiingiza kwenye filamu ili kufanikisha mambo yao yaliyo nje ya maadili na utamaduni wetu.

“Inawezekana vipi utengeneze filamu ambayo baba, mama na watoto hawawezi kukaa pamoja kuitazama? Tufike mahali tuseme mambo haya ya kipuuzi basi kwenye filamu zetu” alionya Lebejo.

Awali akiwasilisha mada kuhusu Filamu, wasanii na haja ya kujiendeleza kielimu, Msanii wa filamu Emmanuel Myamba maarufu kam Pastor Myamba alisema kuwa, tasnia ya filamu inakosa weledi hivyo kuhitaji mabadiliko.

“Ni wazi ukiangalia filamu zetu zinakosa weledi katika uandishi wa miswada, uongozaji, uhariri na hata uumbaji wa wahusika. Lazima tukubali udhaifu huu turekebishe” alisema Myamba ambaye kwa sasa amefungua kituo cha mafunzo ya filamu kiitwacho Tanzania Film Training Centre (TFTC) kilichoko Ubungo.

Vodacom customers to get free airtime bonus for sending and receiving money through M-PESA

1.                   Customers to receive TShs 50 free airtime instantly for each M-PESA Send Money transaction to registered M-Pesa users.


Dar es Salaam, 26th June 2012 … Tanzania’s leading telecommunications company, Vodacom has introduced an offer that will see all M-pesa registered customers get free airtime for every M-pesa transaction, whether they are sending or receiving money.
Vodacom Managing Director, Rene Meza announced a TShs 50 airtime bonus to both the sender and the receiver for every M-pesa transaction, adding that customers will be able to use the bonus airtime to make phone calls within the Vodacom network and send sms to any network nationally.
“The more one sends or receives money throughout M-pesa, the more bonus airtime they shall receive,” he said.
Meza said the promotion is aimed at rewarding Vodacom customers for their continued loyalty to the company. “This promotion is exciting to Vodacom as it will encourage more of our customers to use M-pesa and allow them to see how M-pesa can change their lives while enjoying the bonus airtime to make calls and send sms,” he noted, adding that M-pesa remains one of the most important products that Vodacom has introduced into Tanzania.
Since its launch in 2008, M-pesa has played an instrumental role in changing the way money is sent, saved, and used to buy daily needs across the country. So far, Vodacom enables over 3 million M-pesa subscribers in the country, all of which are set to enjoy this bonus airtime promotion.
Over the last four years, the M-pesa mobile money solution has become ingrained in the lives of Vodacom customers. Efforts to drive access to the product have grown steadily, and Vodacom has managed to build an agent network of over 20,000 outlets, effectively covering the country, and bringing access to the product closer to all customers.
“With all great growth achieved by the M-pesa service over the years, we thank our customers and all the shops in the country for they have played a significant role in it. I want to assure them that we shall keep bringing them new services that are rewarding and life changing,” the MD pledged.
He said the company will continue to drive accessibility of its network through infrastructure upgrades and to open more parts of the country that lack network connectivity at the moment. Vodacom will also increase its efforts towards developing innovative products and services that meet the unique needs and lifestyles of the people of Tanzania

No comments:

Post a Comment